Magufuli Bus Terminal also unofficially known as Mbezi Bus Terminal (Kituo kikuu cha mabasi cha Magufuli, in Swahili) is a major bus terminal located in Mbezi ward of Ubungo District of Dar es Salaam Region in Tanzania.
It started operating in November 2020 and serves over 3000 buses daily. It was officially opened by the late Dr. John Magufuli on 24 February 2021.
Kabla ya kufungua mzigo mpya nimeamua nifanye sale
Jaman nauza gauni mtumba quality 3500 af tatu tu
Sket imebak moja 2000 tu
Vitop vishat 1500 tu
Karibuni sana wasap or call 0625056158
Watu wa dar wanafaidi sana maisha, Yani nimenussa tu hili jiji maajabu ni mengi sana. Hivi kule kijijini nanjilinji kunaweza kuja kua kama hapa mbezi? Daah dunia haiko sawa kabisa.
Nimeshangaa bugurudi unavuka barabara kwa juu, haya ubungo ndo kuzidi. Nimepewa tenda ya kumsindikiza dogo tengeru...
Kwa wale mnaokaa huko mjipangee ujenzi unaoendeleea wameshauri wafunge upande mmoja.
Upande mwingine mtaelekezwa jinsi ya kupita na magari yenu.
Ushauri ni kama hamna umuhimu wa kwenda na gari mjini panda mwendokasi.
Vijana wakiwa na nguo za njano reflector watakuwa pale kuwasaidia...
Stendi ya Mbezi Magufuli leo siku ya pili hakuna huduma ya maji, hali si hali kwani abiria wanapata tabu, na watu wanaofanya shughuli zao humu ndani na nje ya stendi kadhalika.
Hali imekuwa mbaya kiasi cha watu kuambiwa wajisaidie haja ndogo tu na si haja kubwa kutokana na kukosekana maji licha...
Kwanini wafanyabiashara wa stendi ya Magufuli Mbezi wameachiwa kufanya biashara zao kwa kuzurura ndani ya stendi na kupanga biashara kila mahali wakati kuna majengo ya kufanyia biashara? Kuna wafanyabiashara wanauza bidhaa zao karibu kabisa na milango ya vyoo jambo ambalo sio zuri kiafya.
Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.