mbinu za kuepuka kufilisika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. phantomnation

    Je, ni kweli ukimuacha mwanamke/ mke uliechuma naye mali unaweza kufilisika?

    Habariii za humu wana Jamii, Mara nyingi nimekutana na uzi nyingi sana mfano Kama uzi wa Analyse INSIDER MAN humu na watu kadhaa wakisema kwamba eti ukiwa katika harakati za kutafuta maisha na ukawa na mwenza/mke wako mmojaa katika utafutajii na kwa rehema za mwenyezi mungu ukazipata mali. Je...
  2. M

    Unafanya nini ili usifilisike na usipotee kwenye ramani? Nafsi yangu inangia huzuni na hofu nikikutana na waliofilisika

    Moja ya jambo linalotisha kwenye maisha ni kufilisika, ulikuwa na mali zako kidogo zinakusogeza na zinakupatia chochote, una watu wamekuzunguka unawapa kazi na unawapatia chochote japo kidogo, then inatokea hiyo hali inakata, humiliki Cha maana, mission za mjini zimekata, huonekani aisee...
Back
Top Bottom