Moja ya mambo yanayotisha sana katika maisha ni kufilisika. Ulikuwa na mali zako kidogo zilizokuwa zinakusaidia na kukupatia chochote, na ulikuwa na watu waliokuzunguka ambao uliwapa kazi na japo kidogo cha kuwasaidia. Kisha, ghafla hali inabadilika, na unakuta huna chochote cha maana. Mission...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.