Habarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf.
Ni hivi,
Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45.
Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50.
Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali...
📖MHADHARA WA 28:
SHERIA 1: Mponde kabisa adui yako
Hii ni SHERIA YA 15 kati ya zile SHERIA 48 zilizoandikwa na ROBERT GREENE katika kitabu chake cha "THE 48 LAWS OF POWER"
Mapitio:
Waponde adui zako kisawa sawa, usiende nao nusu nusu wala kuwapa chaguo lolote. Kumbuka ukiacha hata makaa moja...
Habari ya uzima huu ni Uzi maalumu wa watu kutoa code za maisha ili tufaidike sote.
Mimi leo natoa code mbili.
(Third hand -CODE)
Hii code ya third hand huwa tunaitumia kutengeneza connection na WATU
Unapokutana na MTU hakikisha huyo mtu kuna kitu unamuongezea hii itakufanya wewe masikini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.