mbinu za maisha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wazoefu na wabobezi: Nina akiba ya Tsh. Milioni 50 nianze na kipi maishani?

    Habarini za wakati huu ndugu zangu wapendwa wa Jf. Ni hivi, Kuna maeneo ya familia yameuzwa mahali na kila mwanafamilia amepata gawio la Mil.45. Na kwa kuwa nilikuwa na akiba ya kama Mil.5 benki basi nikajumuisha na ile Mil.45 ikawa kama Mil.50. Najua humu kuna watu wa kada mbalimbali...
  2. Usiende nao nusu nusu

    📖MHADHARA WA 28: SHERIA 1: Mponde kabisa adui yako Hii ni SHERIA YA 15 kati ya zile SHERIA 48 zilizoandikwa na ROBERT GREENE katika kitabu chake cha "THE 48 LAWS OF POWER" Mapitio: Waponde adui zako kisawa sawa, usiende nao nusu nusu wala kuwapa chaguo lolote. Kumbuka ukiacha hata makaa moja...
  3. Tupeane codes mbalimbali za maisha

    Habari ya uzima huu ni Uzi maalumu wa watu kutoa code za maisha ili tufaidike sote. Mimi leo natoa code mbili. (Third hand -CODE) Hii code ya third hand huwa tunaitumia kutengeneza connection na WATU Unapokutana na MTU hakikisha huyo mtu kuna kitu unamuongezea hii itakufanya wewe masikini...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…