mbio za baiskeli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Kitendo cha Mbunge wa Butiama, Jumanne Sagini kushiriki kwenye mbio za baiskeli ni kawaida yake au ndo propaganda za uchaguzi?

    Wakuu, Mbunge wa Jimbo la Butiama, Jumanne Sagini siku chache zilizopita alikaribisha kikundi cha waendesha baiskeli kinachoitwa TWENDE BUTIAMA. Soma pia: Sagini: Wenye vikundi muandae miradi itayowawezesha kukopa pesa ndefu nawapigia debe Kikundi hiki kiljumuisha waendesha baiskeli 84...
  2. S

    Mbio za baiskeli, Tanzania ingevuna medali nyingi sana kama serikali ingekuwa hai katika mchezo huu

    Nimefuatilia mbio za baiskeli katika mashindano ya Olimpinki yanayoendelea Ufaransa, nikagundua kuwa Watanzania wezetu wangeshiriki mchezo huu wote wangerudi na medali. Mfano ndugu zetu Wasukuma,kwa baiskeli wanakimbiza baiskeli hata huko Paris sijaona. Chama cha Baiskeli Tanzania mko wapi ...
  3. Lady Whistledown

    Watanzania 7 kupeperusha Bendera ya Tanzania katika Olimpiki 2024 huko Paris

    UPDATE: Tangu kuanza Kushiriki Olympics (1964), Tanzania ilipata Medali 2 tu za Fedha (Silver) kupitia Filbert Bayi na Suleiman Nyambui huko Moscow (1980). Leo Julai 29, 2024, Mcheza Judo Andrew Mlugu leo anatafuta Medali ya 3 akikabiliana na Joan-Benjamin Gaba (23) wa Ufaransa Mlugu (28)...
Back
Top Bottom