Mwanariadha wetu, wa kimataifa wa riadha tanzania , Gabriel Gerald Geay anatarajia kushiriki mashhindano ya Sydney - Marathon , inayotarajiwa kufanyika tarehe 17 Septemba, 2023.
Anaenda kushiriki na wanariadha wengine wenye muda bora.
Geay, ni mwanariadha wa 9 bora duniani kwa muda wake wa saa...