mbowe hana jipya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Pre GE2025 Mch. Peter Msigwa: Mbowe hastahili kuongoza CHADEMA hata kwa Sekunde 2

    Kada wa CCM Mchungaji Peter Msigwa amesema Freeman Mbowe hastahili kuongoza CHADEMA hata kwa Sekunde 2 kwasababu hana jipya. "Ningekuwepo ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mbowe hastahili kuongoza kile Chama hata kwa Sekunde 2." Pia, Soma: Mchungaji Msigwa: Ningependa...
  2. Waufukweni

    Pre GE2025 Peter Madeleka: Mbowe amefika mwisho, hana jipya

    Wakili wa Kujitegemea nchii, Peter Madeleka, amesema Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amefikia mwisho wa mchango wake katika siasa za mageuzi na hana jipya la kutoa katika mazingira ya sasa ya kisiasa nchini. Akizungumza na Jambo TV, Madeleka amesema...
Back
Top Bottom