mbowe vs lissu chadema 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Yericko Nyerere: Siku Mbowe akiwa kwenye machela hawezi kutembea, ndio tutamuweka benchi

    Wakuu, Akiwa anazungumza kwenye mdahalo ambao umeandaliwa na Chief Odemba hivi karibuni, kada wa CHADEMA, Yeriko Nyerere amesema kuwa siku Mbowe akiwa kwenye machela anaumwa ndio siku watamuua kumpumzisha nafasi ya Uenyekiti. “Tuliyenaye Freeman Mbowe ni Alfa na Omega, kwa mujibu wa katiba...
  2. G

    CHADEMA ukimuondoa Mbowe inaenda kuwa TLP, Chama cha siasa kinahitaji mtu mzito, mwenye historia ya kuwa Oligarch

    Huo ndio ukweli, Chama wakiachiwa hawa kina Lissu ni suala la muda tu, chalii Chama cha siasa kinahitaji mtu mwenye historia ya kuwa sehemu ya watu waliowahi kuwa kwenye oligarchy ya Tanzania Oligarchy ni hawa watu wachache wanaohusika / very connected na uongozi wa juu, mfano marais...
  3. Erythrocyte

    Gazeti la Mwananchi, Ni lini Mbowe alitangaza kugombea Urais wa Tanzania 2025?

    Wiki iliyopita Msemaji wa Serikali ya Tanzania alitembelea ofisi za Mwananchi na kupokelewa na kiongozi wa gazeti hilo Je huu ndio Uzushi Waliokubaliana kuuandika kwenye gazeti lao? Ni wapi ambapo Freeman Mbowe alitangaza kugombea Urais wa Tanzania? Natangaza rasmi kulidharau gazeti hili...
Back
Top Bottom