Ni mbu mpya mwenye uwezo na kasi kubwa ya kueneza malaria Afrika. Anazaliana zaidi mijini, vimelea vyake huweka kambi kweny ini.
Wataalamu waeleza athari zaidi, Serikali nayo yajipanga kumdhibiti. Huchukua kati ya siku 10-14 tangu kuanguliwa kwa mayai hadi kuwa mbu kamili.
Wizara imeendesha...