mbunge ndaisaba ruhoro

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ndaisaba Ruhoro Asema Wakulima wa Kahawa Wataendelea Kunufaika

    MBUNGE WA JIMBO LA NGARA MH. NDAISABA RUHORO AKONGA MIOYO YA WAKULMA WA KAHAWA Mbunge wa Jimbo la Ngara Mheshimiwa Ndaisaba George Ruhoro amehudhuria Mkutano Mkuu wa Chama Cha Ushirika Ngara Farmers Cooperative Society 2024-2025. Akizungumza na Wakulima pamoja na Wanachama wa Ngara Farmers...
  2. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ndaisaba Ruhoro Akabidhi Eneo (Site) Ujenzi wa Soko la Kimkakati la Kabanga kwa Mkandarasi

    06/12/2024 Mbunge wa Jimbo la Ngara Mh Ndaisaba G Ruhoro kwa ushirikiano na Ofisi ya Kilimo Wilaya wameshiriki kumkabidhi mkandarasi aliyeshinda zabuni ya ujenzi na umaliziaji wa soko la Kimkakati Kabanga. Hii ni utekelezaji wa ahadi ya RUHORO na DIWANI wa Kabanga Mh Hafidhi Abdallah waliyo...
  3. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ndaisaba Ruhoro Azungumza na Makundi Mbalimbali Kata ya Mabawe, Ngara

    MBUNGE NDAISABA RUHORO AZUNGUMZA NA MAKUNDI MBALIMBALI KATA YA MABAWE, NGARA MHE. NDAISABA GEORGE RUHORO Mbunge wa Jimbo la Ngara amehudhuria Mkutano wa hadhara Kata ya Mabawe ulioandaliwa na UMOJA WA VIJANA WA CCM PAMOJA UMOJA WA VIJANA WA BODA BODA Kata ya Mabawe. Mhe. Ndaisaba Ruhoro...
  4. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ndaisaba Ruhoro awapigania wastaafu Bungeni Jijini Dodoma

    Kutokana na kikao cha Wazee wa wastaafu na Mh Ruhoro kilichofanyika hivi karibuni nyumbani kwake Buhororo ambapo watumishi wastaafu walimtuma mbunge wao kuwapigania, Leo Mbunge wa Jimbo la Ngara ameiomba serikali kuboresha kiwango cha Pensheni ya wastaafu. Ameiomba Serikali kuangalia uwezekano...
  5. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ndaisaba Ruhoro: Watanzania puuzeni migomo kwa kuwa haina mashiko

    Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. NDAISABA G RUHORO amewaomba watanzania kupuuza watu wachache wanaohamashisha maandamano nchini hasa wale wanaotumia mitandao kufanya vikao vya kichochezi Mbunge Ruhoro aliyasema haya alipokuwa kwenye mkutano wa hadhara, Kijiji cha Kumubuga, Kata ya Nyamagoma...
  6. Stephano Mgendanyi

    Pre GE2025 Mbunge Ndaisaba achangiwa fedha za Kuchukua fomu ya Ubunge na Wanawake 400 wa Kabanga, Ngara, Kagera

    Mbunge Ndaisaba Ruhoro achangiwa fedha za kuchukua fomu ya ubunge na wanawake zaidi ya 400 wa kabanga. Ngara; 02.09.2024 Wanawake zaidi ya 400 wa Mji mdogo wa Kabanga waliandaa Hafla ya kumpongeza Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. NDAISABA G RUHORO kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuiwakilisha...
  7. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ndaisaba Ruhoro achangia Tsh. Milioni 8 kwa UVCCM Wilaya ya Ngara

    Mhe. Ndaisaba George Ruhoro, Mbunge wa Jimbo la Ngara Mkoa wa Kagera ameshiriki Baraza la Kikanuni la Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) la Wilaya ya Ngara Mkoa wa Kagera. Mhe. Ndaisaba George Ruhoro Ametoa Shilingi Milioni 5 (5,000,000) kwaajili ya Kununua Simu za...
  8. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ndaisaba Ruhoro: Mfanyabiashara wa soko la sukari anauza kilo moja kwa Tsh. 10,000. Hatuwezi kukubali Wananchi wetu kuteseka

    "Sukari ni chakula, watanzania wa hali ya chini wanategemea Sukari kuweza kunywa Chai. Suala la Sukari ni suala la Usalama wa Nchi kwasababu chakula ni suala la kiusalama ndani ya Taifa. Hatutakiwi Kufanya Mchezo na Suala Linalogusa Usalama wa Nchi" - Mhe. Ndaisaba George Ruhoro, Mbunge wa Jimbo...
Back
Top Bottom