Muda wote akiwa mbunge na waziri wa Ardhi wala hakujisumbua kujishughulisha na maendeleo ya Jimbo lake
Sasa dakika za jioni anagawa TV kwenye vijiwe vya kahawa na bodaboda.
Jimbo la Ilemela Lina changamoto nyingi, zinahitaji barabara za lami, majina umeme wa uhakika, huduma nzuri za afya na...