mbunge wa ulanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Pre GE2025 Mbunge wa Ulanga: Hata nisiposhinda Uchaguzi mwaka huu, Rais Samia lazima ashinde

    Mbunge wa Jimbo la Ulanga, Salim Hasham amesema kuwa kutokana na mambo mazuri yanayofanywa na Serikali ya Awamu ya Sita, hata kama hatapata tiketi ya ubunge, atahakikisha Rais Samia Suluhu Hassan anapata kura za kutosha katika jimbo hilo. Salim ameyasema hayo wakati akieleza mafanikio...
  2. Stephano Mgendanyi

    Mbunge wa Ulanga, Salim Almas agawa Smartphone 63 (Milioni 7) kwa Wajumbe wa CCM Wilaya

    MBUNGE SALIM ALMAS AGAWA SMARTPHONE 63 KWA WAJUMBE WA CCM Mbunge wa Jimbo la Ulanga, Mhe. Salim Almas amegawa simu janja (smartphone) 63 zenye thamani ya zaidi ya Shilingi Milioni Saba (07) kwa wajumbe wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Ulanga ili kurahisisha mawasiliano na kupeana taarifa...
Back
Top Bottom