mburahati

Mburahati (Kata ya Mburahati, in Swahili) is an administrative ward in Ubungo District of the Dar es Salaam Region in Tanzania. Makurumla borders the ward to the north. The ward is bordered by Mzimuni of Kinondoni MC to the east. The Kinondoni ward of Kigogo is to the south. Mabibo is to the west. According to the 2012 census, the ward has a total population of 34,123.

View More On Wikipedia.org
  1. Mwanadiplomasia Mahiri

    Abby Chams: Sijawahi kula miguu ya kuku wala firigisi, wala sijawahi kusikia sehemu inaitwa Mburahati

    Akiwa katika kipindi cha Jirani kupitia Crown FM, mwanamuziki Abby Chams anasema hajawahi kula miguu ya kuku wala firigisi hazijui. Mwijaku akamuuliza unapajua Mburahati? Akamjibu hajawahi kupasikia ndio mara yake ya kwanza kupasikia. NB Huyu msanii Abby Chams kipindi cha nyuma aliwahi kusema...
  2. Roving Journalist

    Wazazi wajaa Shule ya Mburahati kuwachukua Watoto, hofu ya kutekwa baada ya Noah nyeusi kuonekana

    Baadhi ya Wazazi na Walezi wenye Watoto katika Shule Msingi Mburahati wamefika shuleni hapo mchana wa leo Julai 22, 2024 kwa lengo la kuwafuata Watoto wao kutokana na hofu iliyotanda ikidaiwa kuna Watu wanania ya kuwateka Inadaiwa kulitokea gari ain ya Noah nyeusi ambayo haina namba iliyokuwa...
Back
Top Bottom