Miaka takribani kumi iliyopita nilipoteza ndugu ambaye alikuwa ni mhanga wa madawa ya kulevya na kilichotokea ni kuwa aliugua ghafla na alipofika hospitali walimpatia matibabu bila kujua kuwa alikuwa ametoka kutumia madawa ya kulevya Jambo lililopelekea kifo chake. Kama familiya tuliumia mno, na...