UPDATES
KUHUSU KOMBO MBWANA TWAHA,GEREZA LA MAWENI TANGA.
Timu ya mawakili waliopiga kambi Jijini Tanga ikiongozwa na Wakili Peter Kibatala, Wakili Michael Lugina na Wakili Deogratius Mahinyila katika kesi ya Jinai namba 000019759 ya mwaka 2024 ya Jamuhuri dhidi ya Kombo Mbwana Twaha.
Leo...