USILETE MBWEMBWE KWENYE HARUSI, UTALIA.
Na, Robert Heriel
Leo Taikon sitakuwa na maneno mengi maana kuna wadau wangu hupenda ndizi kisukari, hupenda fupi fupi.
Haya, usilete mbwembwe kwenye Harusi tadhani wewe ndio mtu wa Kwanza kufanya Harusi, utalia.
Usilete mbwembwe kwenye Harusi ikiwa...