mchanga barabarani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kegenya

    Kuchota mchanga uliokusanywa na Wafagiaji barabarani ni kosa?

    Habari wana JamiiForums, Kuna jambo naomba ufahamu kidogo hapa. Ukipita barabara za lami utakuta kuna mchanga umefagiliwa na wasafisha barabara na umewekwa pembezoni mwa barabara (ila ni kwenye lami). Je, kuchota mchanga huu ni kosa kisheria? Mfano wa huo mchanga ni kama kwenye picha hapo
  2. Copro mtego

    KERO Barabara za jijini Dodoma hazifanyiwi usafi zimejaa mchanga. Ukitembea kwenye lami ni sawa na aliyepita barabara ya vumbi

    Barabara za jijini Dodoma inaonekana hazifanyiwi ushafi wowote maana hata ukipita barabara ya lami vumbi lake ni sawa na alitepita barabara ya vumbi tu. Najiuliza hizi uongozi wa jiji unashindwa kutenga bajeti kwa ajili ya kutunza barabara za makao makuu ya nchi? Na kama hali hii ipo makao...
Back
Top Bottom