CCM wana roho njema sana, sasa wamechukua jukumu la kuhakikisha Tundu Lissu anapata gari. Chadema wameshindwa kumpa gari kiongozi wao mkuu.
Nashauri kila mkutano wa CCM wamchangie Lissu, na pia Mama Samia ampe surprise ya mchango katika moja ya mikutano ya hadhara.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 -...