mchekeshaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Hivi nani comedian au mchekeshaji kati ya Trump and Zelensky

    Kumekuwa na maneno mengi sana eti Zelensky mchekeshaji au comedian. Mi nasema hapana kwa jinsi ambavyo kaonesha uwezo mkubwa dhidi ya trump. Sasa nani anapaswa kuwa comedian kati ya hao wawili
  2. GENTAMYCINE

    Nanga OG asiposhinda Shindano la Mchekeshaji bora kwa mwaka wa 2024 / 2025 nitajua kuna Watu wana Chuki kuzidi Shetani hapa duniani

    Ana Kipaji cha hali ya juu mno cha Uchekeshaji na pia ni Mbunifu mno. Apigiwe Kura nyingi ili aweze kuibuka Mshindi Ok?
  3. Waufukweni

    Mchekeshaji Zero Brainer, Mtanzania mwenye wafuasi wengi TikTok, ashinda Tuzo Afrika Kusini

    Mchekeshaji na mtengeneza maudhui wa mitandaoni Mtanzania Zero Brainer ameshinda tuzo ya "Sports Creator of the Year TikTok Awards 2024" katika tuzo zilizofanyika usiku wa kuamkia leo Februari 9, 2025 Jijini Johannesburg, Afrika Kusini. Soma: Watanzania huyu mchekeshaji Zero Brainer...
  4. FK21

    Huyu mchekeshaji wa kike anaitwa nani?

    Uyu mdada anaitwa nani? Kiukweli anajua sana. Mdada hachoki kumsikiliza.
  5. Waufukweni

    TANZIA Mchekeshaji Frank Patrick (Molingo) afariki dunia

    Kijana Frank Patrick (Mchekeshaji wa Mtandaoni) maarufu Kama Molingo (17) Mkazi wa Wilaya ya Chato Mkoani Geita amefariki dunia usiku wa kuamkia leo December 10,2024 akiwa nyumbani kwao Chato ambako alikuwa akiuguzwa na Mama yake mzazi. Rafiki yake ambaye alikuwa akiishi nae na kumrekodi...
  6. Heparin

    Mzee wa Upako: Mgogo siyo Mchungaji, ni Mchekeshaji mwenye Kipaji

    Mzee wa Upako amesema yeye binafsi akimuangalia Mugogo anaona siyo Mhubiri wala Mwalimu bali ni Comedian (Mchekeshaji). Pia amesema hawafahamiani sana zaidi ya kumuona kwenye Mtandao, na kipawa cha kuchekesha amepewa na Mungu.
  7. B

    Mchekeshaji Nyanda Kabundi fanya haya

    Habari zenu. Iko hivi nadhani kwa kila mmoja wetu anamfahamu mchekeshaji aliyeibuka siku za hivi karibuni anayeitwa Nyanda Kabundi. Iko hivi mchekeshaji huyu nataka nimshauri kitu kimoja. Atafute watu sahihi wa kumsimamia nyuma yake. Ninamuona ana kipaji kikubwa lakini kuna marekebisho...
  8. Kizzy Wizzy

    China: Mchekeshaji apigwa faini ya shilingi bilioni 4 kwa kutaja msemo wa kishujaa wa jeshi la China PLA jukwaani

    Mchekeshaji Li Haoshi wa China amejikuta kwenye sintofahamu baada ya kupigwa faini ya $ 2 milion ambazo ni sawa na bilioni 4 baada ya kutaja maudhui na msemo wa kishujaa ambao hutumiwa na jeshi. Mchekeshaji huyo alikuwa akielezea jinsi mbwa wake walipokuwa wakifukuza "squirrel" ndipo...
Back
Top Bottom