Hivi majuzi Serikali imetangaza kuruhusu wafanyabiashara kuingiza mchele kutoka nje tani elfu 90.
Rai yangu kwa wadau na wafanyabiashara wenzangu wa nafaka ni kupata connection ya wasambazaji rasmi wa mchele huo ili tuupate kwa bei rasmi ambayo haitakuwa na udalali.
NB: Nipo Mwanza, naomba...