Kumekuwa na malalamiko ya wanafunzi na Wazazi wengi kupangiwa Tahasusi (Combinations) ambazo hawajazichagua hata kama wana vigezo vya kusoma tahasusi walizochagua.
Soma:
- KERO - Serikali mliangalie hili, inakuwaje mtu anachaguliwa kozi ambayo hajaomba?
- Serikali kuweni makini; inakuaje mtoto...