mchezo wa bao

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Picha ya siku: Rais Samia akicheza mchezo wa bao na Waziri Ndumbaro

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akicheza mchezo wa bao na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati alipotembelea mabanda ya Maonesho katika uwanja wa Majimaji mjini Songea mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba, 2024.
  2. L

    Rais Samia Akicheza Mchezo wa Bao Pamoja na Kuwaenzi Mashujaa wetu

    Ndugu zangu Watanzania, Huyu ndiye Rais wetu,Rais Makini,hodari,shupavu,imara, madhubutu na mwenye maono Makubwa.Rais Mwenye utulivu na misimamo madhubuti.Rais Mwenye akili na upeo wa kiuongozi. Hanaga Makuu wala majivuno Mama yetu,hanaga kiburi wala dharau Mama yetu.yeye ni mtu wa...
Back
Top Bottom