USA amekamilika Kila idara. Uchumi unatisha, fedha yake ni lulu, technology usiseme, jeshi lake ni hatari, silaha ni balaa, wananchi wameshiba, yaani per Capita Yao sio ya mchezo mchezo.
Mchina ana lundo la watu maskini ETI nayo ANAJITUTUMUA. IGA ufe.
ETI na yeye anamutisha USA. Vichekesho