Habari za muda huu,
Kama ilivyo ada na kawaida kwa sisi wanaume, tunapaswa kuendelea kukumbushana mambo ya msingi kwa ajili ya kutunza afya zetu za akili na uchumi, ili walau tuishi maisha marefu ingawa yamejaa taabu na mafupi. Ingawa inaonekana kuwa kuna baadhi yetu wanajisahau sana na wengine...