mchungaji kimaro

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. U

    Video: Viongozi wapenda madaraka huwaogopa wenye akili (talents) kwa hofu kuwa watachukua nafasi zao. Hutumia kila fitna kuwapoteza badala kuwatumia

    Ni Mch. Eliona Kimaro wa kanisa la K.K.K.T - DSM akimwaga madini adimu sana. Anasema, viongozi wengi wa nchi za Kiafrika ni wabinafsi na huogopa sana watu wenye akili (talented people) kwani badala ya kuwalinda na kuwaweka karibu watu hawa ili kuwatumia kusaidia uwepo wao kwenye iti vyao vya...
  2. J

    Je, Mchungaji Kimaro anaweza kuanzisha Huduma yake bila kutoka KKKT kama alivyo Mwalimu Mwakasege?

    Nauliza tu kama hilo linawezekana kwa sababu mchungaji Dr Kimaro amekuwa ni hitaji la wanajamii wengi bila kujali madhehebu wala dini Enendeni Duniani kote mkahubiri Injili kwa kila kiumbe Marko:16:15-18 hili ndio agizo kuu la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo Mbarikiwe sana!
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…