Akiwa katika Mahakama ya Shanzu ambapo shauri dhidi yake na washirika wake linatajwa, Paul Mackenzie alipiga kelele akiitaka Mahakama iwaue kisha miili yao itupwe Mto Yala, akidai haki zake na za Washtakiwa wenzake 15 zilikiukwa wakiwa Gerezani, baada ya kunyimwa dhamana
Amemwambia Hakimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.