Akiwa katika Mahakama ya Shanzu ambapo shauri dhidi yake na washirika wake linatajwa, Paul Mackenzie alipiga kelele akiitaka Mahakama iwaue kisha miili yao itupwe Mto Yala, akidai haki zake na za Washtakiwa wenzake 15 zilikiukwa wakiwa Gerezani, baada ya kunyimwa dhamana
Amemwambia Hakimu...