mchungaji msigwa ahamia ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Pre GE2025 Mchungaji Msigwa amebeba taswira halisi ya Wapinzani wa Tanzania

    Fikiria jinsi Mchungaji Msigwa alivyoaminiwa na Chadema pamoja na Wanachama wote Kumbe ni Fursa ya Vyeo na kupata Fedha ndio ilimuweka Chadema lakini hakuwa na Mapenzi yoyote na kile Chama Mchungaji Msigwa alipokosa cheo na Fedha akajisalimisha Chama Dume faster Na hii ndio Tabia ya wapinzani...
  2. Tlaatlaah

    Pre GE2025 Mzimu wa Msigwa waitesa CHADEMA hofu ya gharika nyingine kutokea yatanda

    Hofu imetanda CHADEMA tahadhari ni kubwa, kana kwamba kuna uwezekano wa muandamizi mwingine akawa anajiandaa kuachia ngazi na kubwaga manyanga chamani soon. Imefikia mahali, kila kiongozi mwandamizi wa CHADEMA hivi sasa anaweweseka kwa kumzungumzia Mchungaji Peter Msigwa kwa tahadhari, nidhamu...
  3. L

    Pre GE2025 Mchungaji Peter Msigwa: Tunazima zote tunawasha Kijani

    Ndugu zangu Watanzania, Soma Mwenyewe alichoandika mchungaji peter Msigwa,ambaye ameonekana kuwa na furaha kubwa sana tangia ameingia na kujiunga na CCM.muda wote anaonekana ni Mwenye tabasamu ,furaha na kicheko. Tofauti na alipokuwa CHADEMA alikuwa muda wote amekunjamana sura kwa mawazo na...
  4. Kamanda Asiyechoka

    Picha: Mchungaji Msigwa akiwa Dkt. Musukuma

  5. S

    Pre GE2025 Mbona Msigwa hana jipya huko CCM? Inaonekana amehama na furushi la dosari za Mbowe tu

    Nilitegemea Msigwa ajikite ktk kueneza na kutangaza mawazo mapya (ya akili kubwa) ili kuondoa mapungufu ya kiuongozi, kisheria na kisera ndani ya serikali inayoongozwa na ccm. Lkn badala yake tangu ahamie ccm amekuwa akimlaumu Mbowe kila apatapo nafasi ya kuongea kwenye majukwaa. Manufaa ya...
  6. J

    Pre GE2025 Peter Msigwa alipokuwa TLP hakuwa anaitwa Mchungaji ila alivyoingia Chadema ndio wakaanza kumuita mchungaji Ili kumpamba, sasa anawakomesha!

    Anayejua aliyekuwa Mbunge wa Iringa mjini ni mchungaji wa Kanisa gani anijulishe Nimekaa pale 😃🔥 PIA SOMA - Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
  7. M

    Pre GE2025 Mchungaji Msigwa usiwaone Watanzania kama wajinga

    Msigwa tangu ahame CHADEMA na kukimbilia CCM amekuwa akitoa sababu za kitoto sana za yeye kuhama chama(CHADEMA) na kuhamia CCM. Zaidi sana amekuwa akimtuhumu Mwenyekiti wa CHADEMA, Mbowe kwa tuhuma nyingi. Binafsi naona huo ni utoto kwa sababu kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kukimbia chumba...
  8. J

    Pre GE2025 Mchungaji Msigwa Mbona hasikiki au amerudi CHADEMA Kimya Kimya?

    Mara nyingi Watu wanaohamia CCM kutoka Chadema huwaga na mbwembwe sana lakini kwa Mchungaji Msigwa imekuwa tofauti Kabisa Yuko wapi Pastor? PIA SOMA - Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
  9. S

    Pre GE2025 Maajabu ya Msigwa ni kwamba kukosana kwake na Mbowe kumefanya mambo yote aliyoyachukia ndani ya CCM kwa miaka mingi yabadilike ghafla na kuwa mazuri!

    Msigwa kwa muda mrefu sana amekuwa na msimamo mkali dhidi ya CCM, msimamo ambao ulitokana na orodha ndefu ya mambo ambayo hakuyapenda sana ndani ya CCM, pamoja na watu wenyewe wa CCM. Lakini sasa, akakorofishana na Mbowe, au tuseme akashindwa uchaguzi ndani ya Chadema na ikawa kichocheo cha...
  10. Poppy Hatonn

    Pre GE2025 Napinga Mchungaji Msigwa anaposema sasa atafanya kazi ya kuikashifu CHADEMA

    Ni kweli kwamba mtu akihama Chama hawezi tena kukisifu Chama alichotoka ama sivyo ataulizwa kwanini alikihama. Lakini haiwezekani Msigwa azunguke nchi nzima aanze kusema,"Mbowe ni mnafiki,Chadema hawafai" Yeye amahama Chadema, mambo ya Chadema sasa hayamhusu tena. Waachane kwa amani na...
  11. Erythrocyte

    Pre GE2025 Lissu kuhusu Msigwa kuhamia CCM: Kwa kujiunga na maadui zangu wa kisiasa, nitalazimika kukutana naye kama hasimu wake wa kisiasa

    Usome mwenyewe --- Siku chache tangu Mchungaji Peter Msigwa kutimkia Chama cha Mapinduzi (CCM), Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu ameeleza kusikitishwa na uamuzi huo akisema: “Kwa kujiunga na maadui zangu wa kisiasa, sasa nitalazimika kukutana naye kama hasimu wake wa kisiasa.”...
  12. J

    Pre GE2025 Peter Msigwa hayuko huru, anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala. Ushahidi wa video huu hapa

    Peter Msigwa hayuko huru huko alikokwenda. Amefungwa remote, na anapangiwa nini cha kusema na Amos Makala. Inaelekea Msigwa alikaririshwa, lakini katikakati ya press conference ikaonekana amesahau, Makala akampa makaratasi asome. angalia video hapa chini. Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa...
  13. B

    Tetesi: Godless Lema kumfuata mchungaji Msigwa alipo

    Baada ya Mchungaji Peter Msigwa kushindwa uchaguzi wa kanda ya Nyasa alisema yeye hakufuata uongozi CHADEMA bali kuwatumikia wananchi hata akiitwa sehemu yoyote atafanyakazi ya kutumikia Watanzania ndani ya chama hicho. Baada ya kauli hiyo ya kijasiri na kizalendo ya Msigwa, mwamba Godbless...
  14. 2015ready

    Mchungaji Msigwa muogope Mungu na Teknolojia

    Karibu CCM MSIGWA. Karibu sana. Umenikumbusha Maneno ya Mwana farsafa nguli Tanzania, the late Ruge Mutahaba. Aliwahi kusema kuwa, "Muogope Mungu, Lakini pia ogopa teknologia". Hii video clip unaikumbuka lakini? Pia soma Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa...
  15. Ngongo

    Mchungaji Msigwa alitaka wagombea wawili nafasi ya Mwenyekiti Taifa

    Kwakuwa Mchg Msigwa alitaka nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA igombewe na wagombea wawili. Kwakuwa sasa Mchg Msigwa katimkia CCM naamini atapambana ili nafasi ya Mwenyekiti Taifa CCM wawepo wagombea wawili. Nategemea uchaguzi wa Mwenyekiti Taifa CCM safari hii itakuwa Rais Samia na Mchg...
  16. J

    Lema: Mchungaji Msigwa nimeumia sana, natamani niendelee Kufanya Kazi na wewe kwenye Chama Bora CHADEMA

    Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema ameumia sana kuona mchungaji Msigwa anahamia CCM...
Back
Top Bottom