mchungaji msigwa vs chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    Kuna kila dalili na uwezekano Freeman Mbowe na Mchungaji Msigwa kumaliza tofauti zao nje ya mahakama

    Ama kweli siasa sio uadui, na hakuna uadui wa kudumu kwenye siasa.. Wabobevu na manguli wa siasa za Tanazania wameamua kujitosa na kuchukua hatua za kuingilia kati ugomvi wa kisiasa na kutuliza vita ya maneno, kashafa na tuhuma za kisiasa baina ya F. Mbowe mwenyekiti wa chadema taifa na...
  2. R

    Pre GE2025 Peter Msigwa, ona aibu kidogo angalau, umemsakama Mbowe lakini hajakujibu

    Wenya akili wanakuona mpuuzi, mshenzi na uncouth! Umemsema Mbowe huu sasa ni mwezi wa pili, amekuignore. Ona aibu . Jitafakari kidogo! CCM wenzako wanakudharau ujue! Heshima uliyokuwa nayo si ya kubeba masananu ya watu! Tena watu uliokuwa ukiwananga miaka zaidi ya 10 starting with her...
  3. J

    Pre GE2025 Peter Msigwa alipokuwa TLP hakuwa anaitwa Mchungaji ila alivyoingia Chadema ndio wakaanza kumuita mchungaji Ili kumpamba, sasa anawakomesha!

    Anayejua aliyekuwa Mbunge wa Iringa mjini ni mchungaji wa Kanisa gani anijulishe Nimekaa pale 😃🔥 PIA SOMA - Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
  4. Mwande na Mndewa

    Peter Msigwa; Nikiamua kusema yote ninayoyajua mtahama CHADEMA

    Chadema sio taasisi ni mali Mbowe, Mbowe amewahi kusema chadema ni Mbowe na Mbowe ni CHADEMA, Nikiamua kusema yote ninayoyajua hamtaamini, wengi wenu hamna taarifa kama mimi kwanini mnashindwa kufikri hata kidogo mnadhani mimi kichaa kujiondoa ndani ya Chadema!,mwambie mbowe aache kuwatapeli...
  5. M

    Pre GE2025 Mchungaji Msigwa usiwaone Watanzania kama wajinga

    Msigwa tangu ahame CHADEMA na kukimbilia CCM amekuwa akitoa sababu za kitoto sana za yeye kuhama chama(CHADEMA) na kuhamia CCM. Zaidi sana amekuwa akimtuhumu Mwenyekiti wa CHADEMA, Mbowe kwa tuhuma nyingi. Binafsi naona huo ni utoto kwa sababu kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kukimbia chumba...
  6. kavulata

    Pre GE2025 Mchungaji Msingwa anainajisi Siasa za Demokrasia, CCM ni safi kuliko CHADEMA?

    Anapoikosoa chadema chama kilichompa utajiri alionao Leo anakosea sana. Hata CCM lazima wawe makini na mtu kama Msigwa. Iko siku atayachukua ya madhaifu ya CCM na kuyapeleka kwingine maana anayajuà. Msigwa anataka kutuaminisha kuwa CCM ni wazuri sana kuliko CHADEMA, hii ni kweli? Huu ni udhaifu...
  7. J

    Pre GE2025 Mchungaji Msigwa hawezi kushindana na Mbowe kwa sababu kimfumo Mbowe ni daraja tofauti na yeye

    Nimemsikiliza mchungaji Msigwa Leo pale Mwembetogwa nikashangaa ilikuwaje akawa Mwanasaikolojia na Teolojia Peter amekaa miaka 20 Chadema lakini hajui kuwa kwa CCM Mbowe ni muhimu kuliko yeye na wale wote waliounga Juhudi Kwa sababu Msigwa namfahamu tangu 1980s napenda kumshauri Kitu kimoja...
  8. Gulio Tanzania

    Pre GE2025 Sioni madhaifu ya CHADEMA kwa hoja za Mchungaji Msigwa

    Mambo yote anayokosoa msigwa katika chama alichotoka kukihama kwa mtu mwenye akili timamu sioni hoja za msingi kuwaaminisha watu kuwa chadema ni chama dhaifu ni chama gani kwa sasa hii utakipima kwenye mzani kikawa sawa na chadema kwa sera Sera za ccm miaka nenda rudi ni zile zile tumejenga...
  9. J

    Pre GE2025 Mchungaji Msigwa Mbona hasikiki au amerudi CHADEMA Kimya Kimya?

    Mara nyingi Watu wanaohamia CCM kutoka Chadema huwaga na mbwembwe sana lakini kwa Mchungaji Msigwa imekuwa tofauti Kabisa Yuko wapi Pastor? PIA SOMA - Kuelekea 2025 - Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM
  10. J

    Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Nitazunguka Nchi nzima kuelezea Uongo wa CHADEMA

    Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema atazunguka nchi nzima kuelezea uwongo na ulaghai wa Chadema Msigwa ameomba awezeshwe Ili aungane na Wanaccm wenzake kuisambalatisha Chadema --- "Ni matumaini yangu kama Mheshimiwa Rais (Dkt. Samia Suluhu Hassan) alivyosema kazi zipo nyingi za kufanya za...
Back
Top Bottom