Wakuu naomba ufafanuzi hii imekaaje.
Inasemekana kuna wanawake wana baraka na wengine wana nuksi ukitembea nao wanakuachia nuksi zao.
Je, ikiwa mtu kachepuka na mdada mwenye nuksi akirudi nyumban akatembea na mkewe tena je hizo nuksi alizozibeba kwa mchepuko zitampata na mkewe?
Na je hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.