mdahalo star tv

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Chief Odemba: Tumekubaliana na Wagombea na Washiriki wote wa Mdahalo Kwamba Lugha za Matusi ni marufuku na Maswali yaulizwe kwa lugha ya staha!

    Nimependa sana hili angalizo la Star tv kupitia muongozaji wa mdahalo Mh Chief Odemba Endeleeni kula mtori nyama mtazikuta chini 😂
  2. P

    Pre GE2025 Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa: Nchimbi kaingia mitini, wengine wagoma kushiriki!

    Fuatilia live Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa Maktaba ya UDSM. Fuatilia mubashara Mdahalo wa Makatibu Wakuu wa Vyama vya Siasa Maktaba ya UDSM ambapo wanaotazamiwa kushiriki ni; 1. Dk. Emmanuel Nchimbi - CCM 2. Martha Chiomba - NNCR Mageuzi 3. Ado Shaibu ACT Wazalendo 4. Ahmad...
  3. Majibu ya CCM Mdahalo wa Odemba: Tunasikitishwa na jinsi alivyoupotosha umma, tumeshangazwa na machozi yake!

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kutoa taarifa kwa umma kuhusu kutoshiriki kwa Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi kwenye mdahalo ulioandaliwa na Kituo cha Televisheni cha Star Tv, na kuratibiwa na Ndugu Edwin Odemba tarehe 31 Agosti, 2024. CCM inautaarifu umma kuwa Katibu Mkuu...
  4. J

    Je, kitendo cha Mnyika kususia Mdahalo Kwa sababu Dkt Nchimbi ana udhuru ni cha Kiungwana?

    Kwanza ikumbukwe kuandaa Mdahalo ni gharama! Turudi kwenye mada, Katibu mkuu wa Chadema mh Mnyika amesusia Mdahalo Kwa sababu Dr Nchimbi hajahudhuria hali iliyopelekea Makatibu Wakuu wa CUF na ACT Wazalendo nao kususia wakimuunga mkono Mnyika Je kitendo cha Mnyika kususia Mdahalo ni Cha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…