Kwamba pamoja na uzee wake,
Lakini kumbe makamu mwenyekiti wa CCM bara, mzee Stephen Wasira ni vibrant, powerful na influencial politician, kiasi kwamba mtu anaejiita msomi, mwenye mdomo na makelele mengi kula kona na kukacha fursa hiyo muhimu ya kujipambanua kwa umma?
Ndugu mdau,
Tundu Lisu...
Mdahalo uwe live hapa hapa JF. Jukwaa la kisiasa la JF sasa liwe la midahalo ya kisiasa hapa nchini Tanzania.
Mada mojawapo kati ya hizi mbili, au zingine vile mtakavyoona:
1 - Itikadi za kisiasa ubaya na uzuri wake.
Sisi kama Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais yaani President Supporters...