mecca

Mecca, also spelled Makkah, is a city in the Hejazi region of Saudi Arabia. The city is located 70 km (43 mi) inland from Jeddah, in a narrow valley 277 m (909 ft) above sea level and 340 kilometres (210 mi) south of Medina. Its population in 2012 was 2 million, although visitors more than triple this number every year during the Ḥajj ("Pilgrimage"), held in the twelfth Muslim lunar month of Dhūl-Ḥijjah.
It is the birthplace of Muhammad. A cave 3 km (2 mi) from Mecca was the site of Muhammad's first revelation of the Quran, and a pilgrimage to it, known as the Hajj, is obligatory for all able Muslims. Mecca is home to the Kaaba, one of Islam's holiest sites and the direction of Muslim prayer, and thus Mecca is regarded as the holiest city in Islam.Mecca was long ruled by Muhammad's descendants, the sharifs, acting either as independent rulers or as vassals to larger polities. It was conquered by Ibn Saud in 1925; since then Mecca has seen a tremendous expansion in size and infrastructure, such as the Abraj Al Bait, also known as the Makkah Royal Clock Tower Hotel, the world's fourth tallest building and the building with the third largest amount of floor area, and lost some historical structures and archaeological sites, such as the Ajyad Fortress. Non-Muslims are prohibited from entering the city.

View More On Wikipedia.org
  1. Chizi Maarifa

    Video: Kipindi cha Mfungo Majini yanafunga, yanaenda kuhiji na kutoa Sadaka. Yanakuwa Msikitini Mecca

    Kuna majini ambayo hufunga nayo kipindi hiki na wataalamu wanasema hata takwimu za Ajali hupungua sana na vifo vya ghafla kipindi hiki. Majini mengi yanakuwa kwenye mfungo na pia yanatubu kwa mola wao allah. Ukienda Mecca kuna msikiti upo ambao yanahudhuria ibada yakiwa huko kuhiji. Na pia huwa...
  2. Gol D Roger

    My Prediction: Iran's Islamic Republic ikifanikiwa kuwa Nuclear Power House, Next Stop will be Mecca

    As they say, "Power dreams of more Power" Ayatollah na Islamic regime yake ikifanikiwa kumpiga Israel sio tuu kwamba itaji-establish kama moja kati ya nchi za kuogopeka Middle East na duniani, bali itakuwa ni nchi yenye ushawishi mkubwa and the Shiah Islamic regime will be unstoppable. Next...
  3. mdukuzi

    TANZIA Sheikh Said Nyange afariki akihiji Mecca na kuzikwa hukohuko

    Sheikh Said Nyange amefariki Dunia akiwa na umri wa miaka 48 usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua ghafla akiwa Makka nchini Saudi Arabia alipokwenda kuhiji na tayari ameshazikwa hukohuko baada ya kupata ridhaa kutoka kwa familia. Kazaliwa Machame,kazikwa Mecca Saudi Arabia
  4. B

    Dar es Salaam ilikuwa Mecca ya vyama vya ukombozi, pia jiji la mapigano baina ya vyama hasimu vya ukombozi Afrika ya Kusini

    MAKALA SEHEMU YA KWANZA: TANZANIA ILIPOKUWA MAKAO MAKUU YA VYAMA VYA UKOMBOZI NA CHANGAMOTO ZAKE MWAKA 1959 CHAMA CHA MRENGO MKALI PAC PAN AFRICANIST CONGRESS https://m.youtube.com/watch?v=k9CSA0eN00s Mnamo 1959 Walioamini kuwa Afrika ya Kusini ni Kwa Waafrika siyo nchi mchanganyiko...
  5. Mwl.RCT

    Video: Natural Disasters (Nov.19.2023)- Flood in Mecca, Earthquake in Turkey, Snowfall in Europe

    Natural disasters wreak havoc worldwide, causing widespread damage, loss of life, and displacement. Torrential rains caused severe flooding in the Dominican Republic, the Philippines, Dubai, Santa Katarina, and Hugh, leading to evacuations, fatalities, and transportation disruptions. Ethiopia...
  6. B

    Kimbunga kikali chaipiga Mecca

    Mamlaka ya huduma za dharura na zile za usalama zimewataka raia na wageni mjini Makkah kuchukua tahadhari husika ili kujilinda na dhoruba ya upepo mkali, mvua na mafuriko iliyoikumba mji huu wa Mecca https://m.youtube.com/watch?v=ccpdPw-1T6E&pp Heaven has fallen on Mecca! People are blown away...
  7. Execute

    Kwanini miji ya Mecca na Medina inalindwa na Marekani kufuatia vitisho vya Yemen na Iran?

    Marekani inao wanajeshi 3000 nchini Saudi Arabia kulinda miji inayoitwa mitakatifu. Nilidhani Allah ndio alipaswa kuilinda miji hiyo dhidi ya Iran na Yemen
  8. Execute

    Kwanini Iran na Yemen wamekuwa na mipango ya miaka mingi kulipua Mecca na Medina?

    Nimewahi kufanya kazi na watu wa jamii hizo mbili na wanaichukia sana hiyo miji iliyopo Saudi Arabia? Wanasema kwamba Marekani na Israel ndio zilianzisha utaratibu wa kutembelea hiyo miji ili kukuza kipato cha Saudi Arabia na kuunganisha jamii za mashariki ya kati. Pia wanaeleza utaratibu huo...
  9. Miss Zomboko

    #COVID19 Ibada ya Hajj yafanyika kwa utaratibu mpya kufuatia COVID-19

    Maelfu ya mahujaji waliochomwa chanjo ya COVID-19 wamekusanyika mji mtakatifu wa Mecca kwa ibada ya Arafa, huku Wakizingatia umbali wa mtu na mtu na kuvalia barakoa wakati virusi vya corona vikiiathiri kwa mwaka wa pili mfululizo ibada ya Hijja. Ibada hiyo iliyokuwa inawaleta pamoja mahujaji...
  10. M-mbabe

    #COVID19 Serikali ya Saudia yasema "Mwaka huu ni wale Waislamu waliopata chanjo ya COVID-19 pekee ndiyo wataruhusiwa kuhiji Makka/Madina"

    Hii ni kwa mujibu wa tweet ya Zitto Kabwe. Ameichagiza BAKWATA kuishikiniza serekali ya awamu ya 5 iruhusu chanjo kwa Watanzania ili waweze kutekeleza hii nguzo muhimu sana kwa Waislamu. Hili ni la kwako mzee wetu Mufti Zuberi.....kabiliana na swahiba wako asiyetaka chanjo ili Mungu aendelee...
Back
Top Bottom