Watumishi ambao ni daraja kati ya serikali na wananchi wanaisubiri hii siku kwa matumaini makubwa sana.
Kundi hili lilibanwa mbavu na raisi aliyekutangulia ingawa haikuwa kwa Nia mbaya Bali kufunzwa uzalendo kwamba Kuna wakati wa kuumia kwa ajili ya wengine.
Walivumilia na kukomaa japo haikuwa...