Iran imezindua meli yake ya kwanza ya kubeba droni, ikisema inaweza kufanya operesheni katika bahari za mbali kutoka bara la nchi hiyo, shirika la habari la IRNA liliripoti Alhamisi.
Kwa mujibu wa taarifa, meli hiyo ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi inaweza kubeba vikosi vya droni, helikopta, na...
Meli ya Kivita ya Israel imepita Suez Canal ikiwa na bendera ya Misri na Israel kitendo kilichowachefua baadhi ya Wamisri.
=======
A small group of protestors gathered on the steps of the Journalists Syndicate in Cairo to voice their opposition to recent Israeli military movements, on November...
Meli moja ya kivita iitwayo USNS Big Horn imeharibika kama ambavyo inadaiwa picha zimekuwa zikirushwa mitandao kuifanya Marekani ianze kutoa taarifa ya tukio hilo.
Meli hiyo imepata athari kama hiyo karibu na eneo la bahari ya Oman .Hata hivyo mabaharia wa meli hiyo wako salama ingawaje...
Meli ya kivita kubwa ya Marekani pamoja na kikundi chake inarudi nyumbani baada ya miezi 8 ya kupambana na HOuth ndani ya bahari ya Red Sea.Nafasi yake itachukuliwa na meli nyengine ya USS Theodore Roosevet
Japo Houth wametangaza kuwa walifanikiwa kuijeruhi meli hiyo lakini wasemaji wa jeshi la...
Jeshi la wanamaji la Irani limeiamuru meli ya kivita ya Marekani iliyobeba ndege za kivita zaidi ya 20 iondoke karibu na eneo la bahari la Iran na pia ishushe chini helcopter yake ya kivita ambayo ilikua ikifanya doria baharini.
Baada ya ubishi kidogo,wakatii amri.
Tazama tukio Zima la...
Haya madubwana yamepigwa kizembe sana, aisei Urusi ilijiingiza kwenye aibu.
Ukraine's attack on the ships of the Russian Black Sea Fleet in occupied Sevastopol can be considered a great success: a large landing ship was hit for the third time, and a submarine was hit for the first time.
It...
[emoji298]️The Security Service of [emoji1255]Ukraine conducted a special operation in [emoji635]Novorossiysk Bay: the large landing ship Olenegorsky Gornyk was damaged.
The video shows how a surface drone, saturated with 450 kg of TNT, attacks a Russian ship with about 100 crew members. The...
Hili wamelisema Warusi wenyewe, kwamba meli yao ya kivita imeshambuliwa na drones za kwenye majini
Russia has claimed that one of its warships has been attacked in the Black Sea by Ukraine.
It says the attack on the ship - the Ivan Hurs - was carried out by what it describes as uncrewed...
Mzuka wanajamvi!
Fahari ya Urusi katika black sea jinsi inavyojulikana iyo Meli manowari iliyopachikwa jina la Moskva au Moscow mji mkuu wa urusi ilivyolipuliwa na kuzamishwa katika operesheni ya aina yake kutoka kwa 'Defenders' makomandoo wa Ukraine waliotumia ujanja wa aina yake.
Ni hivi...
Kibao kinaaendelea kugeuzwa......ukiingia kushambulia watu kwenye nchi yao unaua mama zao, baba zao, watoto wao kwenye mauaji ya kimbari, jiandae kwa lolote, watapigana mpaka afe wa mwisho...
A Russian landing ship has been destroyed and two other boats have been damaged in the occupied...
Jeshi la China limeripoti kama kitendo Cha uchokozi dhidi ya China, baada ya destroyer Raph Johnson (meli ya kivita) ya Marekani kupita katika lango la bahari linalotenganisha China na Taiwan (Taiwan strait).
Jeshi la China limelaani/kulaumu KITENDO hicho Cha Marekani Huku likiongeza kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.