A member of parliament (MP) is the representative of the people who live in their constituency. In many countries with bicameral parliaments, this category includes specifically members of the lower house, as upper houses often have a different title. Member of Congress is an equivalent term in other jurisdictions.
Members of parliament seem to tend to form parliamentary groups (also called parliamentary parties) with members of the same political party.
Ikifika saa sita usiku kutakuwa nyuzi zisizopungua 3 za Simba na Yanga. Huwa inashangaza sana🤣
Hebu mtag anayefaa kuanzisha uzi huo ili wengine wapumzike tuu
Si mara kwa mara huwa napitia Jamii Forums, lakini mara nilipokuja kuvutiwa na mijadala kwenye jukwaa hili, nilikutana na kundi la vijana wanaojiita “Kataa Ndoa.” Vijana hawa wanazua mjadala mkubwa, na maoni juu yao yanatofautiana sana – kuna wale wanaowaona kama wanaokwepa majukumu, wengine...
afya
afya ya akili
afya ya uzazi
akili
gen z
kataa
kataa ndoa
kubwa
kundi
matatizo
members
mfumuko wa bei ya vyakula
ndoa
tatizo
uchumi duni
uzazi
wanaokataa ndoa
wengi
Mungu AWABARIKI SANA SANA wote mlio hai
MUNGU axidi kuwainua na kuwapa furaha maishani mwenu
Wale members waliotangulia MBELE za Mungu
MUNGU akawape pumziko la milele
Mkawe na amani na furaha 2025
Happynewyr n advance
Rgds
Pdidy
Nimeona sehemu nyingi ukimjibu mtu basi juu kwenye msg yake anaandikwa mfano
Komeo la chuma Said. Nikawa najiuliza kwa nini JF mliona jina la Said ndo liwe Surname ya members wote?
Kwa nini basi isiwe
Komeo la Chuma Ali au Ngendembwe John. Ila mmeamua iwe
1. Komeo la Chuma Said
2. Kizuio Said...
JF kwa kweli hongereni sana timu nzima ya wakandarasi wa mtandao huu pendwa.
Licha ya kwamba JF imekuwa jukwaa huru, lakini hawa platinum members kwa kweli wamekuwa ni watu wa maana kabisa.
Ukiona mtu kama Kiranga au Mshana Jr ana comment kwenye mada yako basi ujue kwamba hiyo mada ni ya...
UCHUNGUZI WANGU UNAONYESHA WANAUME WENGI HUFA MAPEMA KWA SABABU HAWAKUPENDWA NA WAKE ZAO.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Watu wengi hujiuliza Kwa nini Wanaume hutangulia Kufa Kabla ya Wake zao. Imefikia hatua jamii imeshakuwa na mtazamo huo kuwa Mwanaume lazima atangulie Kufa Jambo ambalo...
Je una swali?
Je una changamoto yoyote?
Je kuna ufafanuzi unahitaji?
Karibu hapa wakongwe wakuhudumie.. Si kila kitu tuwasumbue moderators mengine tunaweza kusaidiana hapa hapa
Future members wa forum hii [ambayo kwa sasa inaitwa Jamii forums]
Enyi mtakaojaaliwa kuishi miaka hii ya 2090.
Mjue tu, namimi
◇Nilizaliwa nikiwa kitoto kichanga
◇Nikakuzwa na wazazi hata kufikia utu uzima
◇Nami nikajaliwa uzao wangu
Hata sasa 25/10/2024 wakati nachora ujumbe huu...
Kwa JamiiForums na tarajia expert member's ndo mfano wa kuigwa but reality ni tofauti kabisa unakuta mtu kapost uzi very serious then Expert member anakuja kupost reply iliyojaa pumba tupu why is that happening
Na bahati nzuri 97% ya Wanafunzi wangu wote niliowafundisha kuanzia Mwezi August, 2010 hadi November 2013 hivi sasa Wanafanya vyema kabisa huko waliko na wengi wao huwa Wananishukuru mno kwa Madini Tukuka niliyokuwa nawapa lakini sijui kwanini huyu Lucas Mwashambwa hakuchukua Ujiniasi wangu ili...
Kila siku tumekuwa tunajadili App zenye majina makubwa makubwa Leo nimekuja naomba list ya App ambazo zinamilikiwa na member wa jukwaa hili pengine zitatufaa zaidi kwa mahitaji yetu kuliko hizi ambazo zimekuwa popular
Nawakaribisha
Senior DP Members USA wamethubutu Kukataa Biden asigombee kwa kuona hana Uwezo, je, na Senior MCC Members in AZT nao wataweza Kumkataa Mtu 2025?
Pia soma: Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024
Kwani wengi wao ukikutana nao Wanamkataa Mtu Fudenge kabisa ila mbele ya Mic...
Shout out to you brothers, wengine kati yenu mna vipaji vya kuelezea story k.v Eric shigongo, wengine mnatoa post zenye falsafa iliyo timamu, wengine kati yenu huwa nikisomaga comments au post zenu mara nyingi huwaga nacheka kabla ya kujibu, wengine majina yenu ya humu yanachekesha, mara...