Naomba upendekeze memes unazodhani zinafaa kupeleka salamu kwa rahis wetu kistaarabu ili ajue nasi tuna akili mbali na mawazo yetu ambayo yanaweza kumsaidia kurekebisha au kuboresha mambo. Namshukuru rais kwa fursa hii :D :D :D :D :D :D.
Je wewe unasemaje mwanangu?
Mhadhara - 45:
Asilimia kubwa ya MEME zinazosambaa kwenye MITANDAO YA KIJAMII na kupostiwa na watu kwenye STATUS UPDATES zinaandikwa na watu (vijana) wenye fikra finyu na wasiojitambua.
Unapaswa kufahamu kwamba hakuna changamoto yoyote inayotatuliwa kwa kutumia MEME. Kila changamoto...
Xavier huyu Jina lake halisi ni Pakalu Papito ukimcheki Facebook utaona wasifu wake, alivyojiunga Twitter mara ya kwanza tu akapost hello Twitter am single, sifa yake kubwa ni ubishi.
David na yeye picha yake imekuwa maarufu sana kwenye mitandao.
Mwanaume mmoja nchini Kenya aitwaye Meme Kabati mwenye umri wa miaka 56 amelazwa Hospitali ya Nyambene Kaunti ya Meru baada ya Mkewe Karambu Meme, kumvuta na kuikata korodani yake moja kwa madai ya kwamba korodani hizo hazina faida kwakuwa Mumewe hajawahi kumridhisha kimapenzi kitandani hata...
Naomba mnisaidie kumfahamu huyu jamaa wa insta anaitwa khaby 00 Mimi sielewi vituko vyake anaemuelewa atuelezee na historia ya maisha yake . Na uraia wake yeye anafanya vitu simpo vya kipumbavu .
Kenya imetoa msaada wa vyakula na madawa kwa zaidi ya watu 300,000 Mozambique waliofurushwa kutokana na vita vya kigaidi vya kundi la Ansar al-Sunna.
Anyway kila mtu akichangia watapata usaidizi kwenye janga hili
Credit: Donald Trump’s Post-Rally Walk of Shame Is the Most Satisfying Meme
We all know of the many, many empty seats at Donald Trump’s rally in Tulsa, Oklahoma at this point. The president was either owned by teens, or he just found out that not that many people were willing to risk their...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.