Wakuu miaka michache iliyopita huko niliwahi pata idea kazaa ya biashara kuhusu teknolojia, sanyansi na Sanaa. Hivyo nimeamua kuchukua hatua Kwa kuanza na teknolojia ni simple idea lakini naona itakua na manufaa Kwa watu wengine.
Hivyo katika kupangilia jambo nimekutana na kipengere Cha jinsi...