Habari Wana JF,
Naomba kuuliza swali,
Je, "Boys 2 Men" ndio wazalendo wakubwa wa nchi hii?
Je, ni kwamba "Boys 2 Men" wanaipenda sana Tanzania?
Najenga hoja. Mnaoipenda nchi hii. Tuache u_CCM , u_CHADEMA. Tuulizane.
Je, "Boys 2 Men" ndio mwarobaini wa matatizo ya nchi hii?!
Je, Kuna uhusiano...