Hawa Meridian bet nilijiunga mara moja tu na nikajitoa(nililazimika kujiunga kwa muda mfupi ili niObserve kitu fulani kutokana na kazi zangu), lakini kila siku wanaendelea kunitumia meseji zao za ofa na promotion. Nimepiga simu zaidi ya mara tano wanasema tu watafanyia kazi lakini hamna kitu...
NIMETAPELIWA NA MERIDIAN BET - NIFANYAJE ? ? ?
Jumapili nimechagua mechi zangu kama tisa, nikazichambua weeee nikaamua kuweka (stake) 1900/=
Mara paaap baada ya kuliwa sana jana ikawa zamu yangu kuwala nikashinda 184,000/=
Nikaingia kwenye account yangu ya meridian bet nika withdraw pesa kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.