Mkuu wa idara ya Afya,Lishe na Ustawi Halmashauri ya Wilaya ya Meru Dkt. Evarist Chiweka ameongoza kikao kazi cha Waganga wafawidhi na waratibu wa Afya ngazi ya Halmashauri kujadili Taarifa ya utekelezaji Robo ya pili ya Mwaka 2024-2025.
Aidha Dkt. Chiweka katika kikao hiko amewataka Waganga...
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mount Meru, imepokea dawa na vifaa tiba pamoja bidhaa zingine vyenye thamani ya shilingi million 15 kutoka kwa Watumishi wa taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Tanzania TAKUKURU kwa lengo la kusaidia kuokoa maisha ya watoto wanaozaliwa kabla ya Wakati.
Akikabidhi...
Pale Arusha wilaya ya Arumeru hasa Halmashauri ya Meru shule ya msingi Kimandafu kuna mzungu anaitwa Birgita sijui ametokea nchi gani. Huyu mama anatoa vifaa kadhaa vikiwemo vitabu, chakula km unga, chereko, mchele, mafuta ya kupikia. Jambo la kwanza huyu Birgita serikali inamfahamu? Pili...
Dear Kenyans, tunahitaji ufafanuzi
Kinacchoendelea kwa sasa Kenya naona kwenye TV na Mitandaoni mkoa ya Coast ikiongozwa na Mombasa hawataki miraa na muguka kuuzwa maeneo yao.
The same substances are used all over the country, kwanini ume affect sana coast?
Watu wa Pwani ni rahisi kuwa addicted?
BODI YA UTALII TANZANIA KUENDELEA KUUTANGAZA MLIMA MERU
Wizara ya Maliasili na Utalii kupita Bodi ya Utalii itaendelea kuutangaza Mlima Meru pamoja na Hifadhi ya Arusha, Hifadhi ya Misitu Ziwa Duluti na Maeneo ya Utalii wa Utamaduni katika vijiji vinavyozunguka Mlima Meru kama vivutio vya...
Position: Accounts & Finance Officer (1 Post)
Report to: Managing Director
Location: Arusha
Duties and responsibilities
1. Prepare monthly, quarterly and annual financial reports including income statement, balance sheet and financial statement,
2. Prepare and submit timely and accurate tax...
Position: Excavators & Bulldozers Operators (4 Posts)
Report to: Farm Manager
Location: Katavi & Singida
Duties and responsibilities
1. Operate and maintain excavators, bulldozers and other machines in a safe and appropriate manner.
2. Perform routine inspections to identify and report any...
Position: Tractor Drivers/Operators (10 Posts)
Report to: Farm Manager
Location: Katavi & Singida
Duties and responsibilities
1. Operate and maintain tractors and other farm machinery efficiently and safely
2. Transport materials, supplies, and harvested crops within the farm
3. Perform...
Mwanamke anayefahamika kwa jina la Blandinda Fredi Mkazi wa Kijiji cha Ilkrevi Kata ya Olturoto Wilayani Arumeru Mkoani Arusha anatuhumiwa kumuua Erick Adam ambaye ni Msanii wa Bongofleva na Mfanyakazi wa kiwanda cha mikate chanzo kikidaiwa kuwa ni kudaiana pesa ya LUKU (umeme).
Mashuhuda wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.