A message is a discrete unit of communication intended by the source for consumption by some recipient or group of recipients. A message may be delivered by various means, including courier, telegraphy, carrier pigeon and electronic bus.
A message can be the content of a broadcast. An interactive
exchange of messages forms a conversation.One example of a message is a press release, which may vary from a brief report or statement released by a public agency to commercial publicity material.
Kama mjuavyo utundu wa watoto kuchezea simu
Juzi kati kaka shika kiswaswadu changu anacheza game
Na fikiri aliingia pia upande wa kuseti tarehe na mwaka
Akaseti mwa 2099
Massage zilivyo ingia zikaenda kwenye huo mwaka halafu sizioni kabisaa inbox ila juu ya simu inaonyesha kuna massage...
A Vision for Electrifying 300 Million Africans: A Message to President Dr. Samia Suluhu Hassan on Harnessing Energy Resources for Sustainable Development
Your Excellency, President Dr. Samia Suluhu Hassan, the President of Republic of Tanzania
Congratulations on hosting the Mission 300 Africa...
Ni baada ya jana kugombana kidogo na mpenzi wake siku nzima anakatiwa simu mara akipiga anakuta inatumika ila akipiga yeye simu haishikwi
Anaomba ushauri mzuri Cha kufanya
Kijana Seba aliyeandika message kwa rafiki yake amtunzie mwanae na anakata roho siku mbili zilizopita.
Mwili wake umeopolewa mda huu ukiwa tayari umeshaanza kuaribika kwenye jengo la Kariakoo.. Tayari mwili wake umepelekwa kwenye hospitali ya Amana kwa kwa taratibu nyingine za kuhustili..Roho...
Dear tatian,
You know that I love you,
Am there for you. Will never disrespect you forever and ever
Your are a good wife and you know how much I love you
Going to your birthday December month wish you to know that your husband for life loves you too much,
Wewe ni mwanamke mkamilifu, a dream...
To all my youngsters.
To those still in school: life changes drastically after you graduate.
Make friends and engage in activities beyond academics. These experiences will help you navigate the real world once your studies are over.
Regardless of what you studied, the post-school hustle is...
Kwa wanawake akiniwekea hivyo najua hana mwanaume mmoja yaani ana mambo mengi anafanya huko kwa simu yake na hataki abambwe kama yeye ni malaya,
Kwa wanaume akiweka hivyo red flag ya kwanza ni tapeli, mzinzi, mhuni, mwizi Ongeza nyingine...
Kila Dakika system ina unatuma Sms Ya Uchaguzi Imekua kero. Mbona kama Hamjiamini Mshasema Watu Wame elewa.
Wanaotaka watakuja na wasiotaka mtaona kimya wanaendelea na shughuli zao.
Note: "Hamjiamini na Mnachokifanya"
Mtu anaunda group la Whatsapp, anajaza picture za bidhaa alafu bei tukiuliza anasema njoo inbox. Ukienda inbox anasoma message kimyakimya alafu anachagua za ku reply. Yale maswali magumu hajibu. Huu mtindo unatia shaka sana
1. Wakuu kuna Mother flan Mwalimu wa sekondari ya kata mitaa ya Kibamba huwa nakamua toka Oktoba 2022 sasa ijumaa nilienda kupiga kuanzia saa 8 mpaka sasa 12 nikamrudisha hadi mitaa ya kwao. Kumbe jamaa alikua sehemu kaona mkewe anashushwa kwenye Subaru mke kadanganya ilikua Uber lakin wapi.
2...
Kichwa chajieleza vizuri, naomba mnisaidie ni kwa nmana gani naweza kusoma ama kirejesha deleted message kwa Whatsapp ikiwa natumia Whatsapp ya kawaida tofatu na gb Whatsapp, fm WhatsApp n.k
Kama Kuna App ya kurudisha deleted message basi naomba kufahamishwa.
Ova.
Ever felt overwhelmed by the world's problems? Wars, hunger, pollution – it's easy to lose hope. But what if the key to a better world isn't about fixing everything, but changing our perspective? 🎺 Louis Armstrong, the legendary Satchmo, knew this secret. In his iconic song, he didn't ignore the...
Ni kama wiki hivi tumekuwa tukifurahia umeme hata kipindi hiki cha mvua zinazoambatana na upepo. Nikasema, hapa sasa serikali imemaliza hii kero ya kukatika umeme.
Nikapanga jumapili hii basi niandike message yangu kuipongeza serikali. Kabla sijaandika nikasema niangalie kama umeme upo. Si...
Wakati tunasikitika kumpoteza, Edward Lowassa, Waziri Mkuu Mstaafu, si vibaya tukakumbushana kidogo.
Ikumbukwe, baada ya kukatwa kwa jina la Edward katika kinyang'anyiro cha kumtafuta Mgombea wa CCM mwaka 2015. Mzee Lowassa alitimkia upinzani CHADEMA, ambako alipata nafasi ya kugombea Urais...
Wakuu habari za wakati huu. Ni matumaini yangu hamjambo, na wale wenye changamoto (ni sehemu ya maisha japo zinazidiana), basi mwenyezi Mungu awafanyie mlango.
Nimependa tu kuandika hiki kitu japo kinaweza kisiwe kwa ajili ya kila mtu lakini sio mbaya ukisoma kwakua it doesn't cost you a penny...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.