methali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Methali ya ajabu niliyopewa na mama mkwe wakati anakazia hoja yake, "aliyejamba hayaachi kunuka".

    Nilimkuta anaandaa mahindi, kipindi ambacho kulikuwa na balaa la wadudu na ukame hivyo uvunaji haukuwepo kabisa au ilikuwa duni mno. Katika kuchangamsha tu genge nikamsifu kidogo kwa kumwambia kuwa kumbe amejitahidi Hadi amevuna kidogo. Hii ndo ilikuwa respond yake, "ee baba, anayejamba...
  2. Mshana Jr

    Methali mia sita na kumi (610)

    1. Aanguaye huanguliwa. 2. Asiye sikia la mkuu, huvunjika guu. 3. Abebwaye hujikaza. 4. Adhabu ya kaburi aijuae maiti. 5. Adui aangukapo, mnyanyue. 6. Adui mpende. 7. Adui wa mtu ni mtu. 8. Afadhali ya Musa kuliko ya Firauna. 9. Ahadi ni deni. 10. Ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke. 11...
  3. covid 19

    Mwanangu wa drs la 2 nimemuuliza methali ya mtoto akililia wembe amenijibu mtoto kautaka..

    Yaani sijui hawa watoto maisha yako huko mbele yatakuwaje isee sikuendeleea nikamwambia akamwambie mama yake njaa inaniuma ila nimebaki na stress kila nikimwangalia na jamii hii ilivyo kazi ipo... Taifa la kesho linabalaa sana.
  4. Shining Light

    Methali ya siku: Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu

  5. Lycaon pictus

    Methali za kisukuma ni "Konki" sana.

    Kutoka kitabu hadithi za Kisukuma. Methali na Tafsiri Makono hoya babyaji ba banhu: Mikono ndiyo wazazi wa watu: fanya kazi kwa mikono yako uishi. Buka mundi tukalye sha balimi: Miguu yangu inukeni tukale vya wakulima, mvivu huishi kwa jasho la wenziwe. Mkono gumo gutatobaga buki: Mkono...
  6. Mwl.RCT

    SoC03 Utawala wa Uadilifu na Uwajibikaji: Kujifunza kutoka Methali ya ‘Kiti Kikubwa Hakimfanyi Mfalme’ Tanzania

    Utawala wa Uadilifu na Uwajibikaji: Kujifunza kutoka Methali ya ‘Kiti Kikubwa Hakimfanyi Mfalme’ Tanzania Mwandishi: MwlRCT UTANGULIZI a) Muktadha wa mada na umuhimu wake: Tanzania ni nchi inayojitahidi kufikia maendeleo endelevu kwa wananchi wake. Ili kufanikisha hilo, ni muhimu kuwa na...
  7. Deibrah

    Methali

    Habari wapendwa anaeweza kunisaidia hili ni somo la kiswahili mifano tofauti tofauti ya vitenzi vishirikishi hata mi3 plsss
  8. Deibrah

    Methali

    Habari wapendwa anaeweza kunipa methali yenye maana sawa Ukiona zinduna, na ambari iko nyuma anisaidie tafadhali
  9. Swahili AI

    Methali za Kiswahili na tafsiri zake kwa Kingereza

    Adhabu ya kaburi aijua maiti, The touture of the grave is only known by the corpse Akiba haiozi, A reserve will not decay Asifuye mvuwa imemnyea. He who praises rain has been rained on. Akili nyingi huondowa maarifa. Great wit drives away wisdom Asiye kubali kushindwa si mshindani. He who does...
  10. Beesmom

    Methali na mahusiano yako

    Kuna mahusiano yapo kwenye methali isemayo "mvumilivu hula mbivu" but another time inageuka "ngojangoja huumiza matumbo" "Waliochagua Nazi wakaishia koroma" wamebaki kupata na "usiache mbachao kwa msala upitao". Mi kuna mchongo nausikilizia,tusikie kwenu Nyie mlio dimbani mahusiano yenu yapo...
  11. Crocodiletooth

    Tuweke methali au misemo mipya hapa...

    Naona na hii, "Kichwa kikubwa bila Akili ni Adhabu kwa miguu."
  12. Da Vinci XV

    Hali yako ya kimaisha ya sasa unaipa methali au msemo upi?

    Kila mtu anapitia ya kwake na kwa muda wake , vitu vingi vinatukwamisha ,vingi vinatujenga vingine vinatuabisha vingine vitupa moyo na furaha. hivi kwamba hali yako ya maisha ya sasa ungeambiwa utumie methali,Nahau au msemo wowote kuielezea ungetumia METHALI au MSEMO Upi? kwa Upande wangu mimi...
  13. Tony254

    Ni Mkenya au Mtanzania, yupi anayeweza kutupa maana ya methali hii?

    Wacha tuone nani mbabe katika lugha ya kiswahili? Nani anaweza kutupa maana sahihi ya methali hii? Mimi nimeitafuta kwa muda mrefu na mwishowe nimeipata. Lakini nataka kujua kama wabongo wanajua kiswahili kama wanavyojisifu. Cha mkufuu mwanafuu ha na akila hu. Cha mwanafuu mkufuu hu, na akila ha.
  14. Roving Journalist

    Zitto aituhumu Serikali kuficha takwimu za wagonjwa na vifo vya COVID-19, adai Zanzibar pekee vifo ni 32 na wagonjwa 235

    Kwa mujibu wa ripoti ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar SMZ iliyochapishwa kwenye ukurasa wa kijamii wa Twitter wa mbunge Zitto Kabwe ambayo imetoka ndani ya Serikali, inaonyesha kuwa mpaka jana mei 6, 2020 Zanzibar ina visa vya COVID 235 na vifo vitokanavyo na ugonjwa huo vipatavyo 32...
  15. malisoka

    Hizi methali zilikuwa na maana sana" Mficha maradhi kilio kitamuumbua"

    Nabendaga sana methali hizi, pale jambo mtu anapolificha wakati akijua ni lazima litatoa outcome mbeleni. Kwa mfano mtu akificha ujauzito/ mimba muda ukisonga itajulikana tu anamimba. Ni hayo tu nimekumbuka mbali sana. Hasa pale muibuko unapotokea. inakuwaga aibu na fedheha. Jamani tuenzi...
  16. Hivi punde

    Methali zipi za Kiswahili zimekusaidia kati ya hizi 610?

    1. Aanguaye huanguliwa. 2. Asiye sikia la mkuu, huvunjika guu. 3. Abebwaye hujikaza. 4. Adhabu ya kaburi aijuae maiti. 5. Adui aangukapo, mnyanyue. 6. Adui mpende. 7. Adui wa mtu ni mtu. 8. Afadhali ya Musa kuliko ya Firauna. 9. Ahadi ni deni. 10. Ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke. 11...
  17. JamiiForums

    Kiswahili: Methali, Vitendawili, nahau, Misemo n.k

    Achari yalisha. The pickle is an appetizer. Pickles make the guest relish the food. (If you need something from someone request for it in a polite and pleasant manner.) Ada ya mja hunena, mwungwana ni kitendo. It is customary for a slave to talk, but a free man acts. (Mja is only used in this...
Back
Top Bottom