meya juma raibu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Erythrocyte

    Aliyevuliwa Umeya Moshi autaka tena, achukua fomu kuomba upya

    Juma Raibu aliyevuliwa Umeya wa Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro, amechukua tena fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM ili awe Mgombea wa kiti hicho kwa mara nyingine. Itakumbukwa kwamba Juma Raibu alivuliwa cheo hicho mwezi April 2022 baada ya kupigiwa kura ya kutokuwa na Imani naye, ambapo kura...
  2. peno hasegawa

    Moshi: Juma Raibu ang'olewa aunganishwa na Ole Sabaya kesi ya uhujumu uchumi

    Ole Sabaya = Juma Raibu Juma
  3. Mbatizaji Mkuu

    Meya wa Manispaa ya Moshi Mjini, Juma Raibu ni mwiba mkali wa siasa za Moshi

    MEYA JUMA RAIBU MWIBA MKALI KISIASA MOSHI Nilianza kumfuatilia huyu kijana, Mwanasiasa machachari na mpenda maendeleo Ndugu Juma Raibu ambaye ni Diwani wa Kata ya Bomambuzi iliyopo Manispaa ya Moshi na ni Mstahiki Meya wa Moshi Mjini. Ngoja nimzungumzie kidogo, Huyu kijana ana nyota ya...
  4. Z

    Meya Raibu kaa kimya usifiwe au tenda haki uchukiwe

    KINACHOMTESA MEYA JUMA RAIBU NI KAZI ZAKE Anaandika Mwinjilisti Mathayo Chamshama Trending news ya sasa katika siasa za kaskazini ni Juu ya kinachoitwa "Uchotwaji wa Milioni 150 za Benki ya KCBL" ambapo anatuhumiwa Mstahiki Meya wa Moshi Mhe Juma Raibu Juma, ambae ni mteja wa Benki hiyo wa...
Back
Top Bottom