mfanyabishara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Moto wa volcano

    Ukiwa mfanyabishara kaa mbali na makundi ya kisiasa

    Ukiwa mfanyabishara Afrika /Tanzania kaa mbali sana makundi ya kisiasa usioneshe kufungumana na upande wa chama chochote au mtu yeyote . Nchi zetu hizi za kiafrika bado utawala wa kidemokrasia haujakomaa kama nchi za wenzetu ambazo unaweza hata ukawa mfanyabishara wa makampuni mbali mbali na...
  2. B

    Mfanyabishara Paulo Mashauri, anajua sana aisee

    Habari zenu.Naanza mwaka 2018 ndiyo ulikuwa ni mwaka wangu wa kwanza kumjua mfanyabiashara au mjasiriamali ambaye anaitwa Paulo Mashauri. Ilikuwa katika kituo cha redio cha Times FM kipindi kilikuwa kinaitwa "Mambo ya fedha" ambacho kilikuwa kinarushwa kila jumapili kuanzia saa...
  3. ChoiceVariable

    Kwamba Tumefikia Mahala Mfanyabishara Anabembelezwa Kulipa Kodi?

    Kwamba Tumefikia Mahala Mfanyabishara anabembelezwa kulipa Kodi na anaamua kulipa Kodi anayojigangia si ndio? Kwamba mfanyabishara wa Tanzania atalipa Kodi bila task force eti maagizo si ndio? Kwamba mfanyabishara ni ruksa kuficha bidhaa kwenye stoo bubu na kuziuza huko huko bila kulipa Kodi...
Back
Top Bottom