mfuko

The Natural Gas Revenue Fund (NGRF) is the proposed sovereign wealth fund of Tanzania expected to be launched in October 2014 or February 2015 after the enactment of a bill by the National Assembly. It will manage the revenue accrued from the sale of its natural gas. As of April 2014, Tanzania has a recoverable gas reserve of 43.1 tcf. The fund will be managed by the Bank of Tanzania. However, according to PFC Energy, 25 to 30 trillion cubic feet of recoverable natural gas resources have been discovered in Tanzania since 2010.

View More On Wikipedia.org
  1. Braza Kede

    Eti wakuu mume aliyesahau kinga (kondomu) kwenye mfuko wa suruari yake ni kufokewa kweli?🤔

    Eti wakuu mume aliyesahau kinga (kondomu) kwenye mfuko wa suruari yake ni wa kufokewa kweli? Unarudi home mtu kaiona tu basi imeshakuwa nongwa anabwata siku nzima hadi majirani wanasikia. Hivi wakuu huyu mume si wa kupongezwa huyu, maana anamaanisha anaijali familia yake hataki kuiletea...
  2. Atlast nimempata

    Mfuko wa hifadhi ya jamii PSSSF ni mfuko dhalimu! Naulaani milele! Umenidhulumu haki yangu niliyoidai miaka 14!

    H
  3. Stephano Mgendanyi

    Kamati ya Mfuko wa Jimbo la Musoma Vijijini Yagawa Vifaa vya Ujenzi

    Leo, Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo, ameitisha Kikao cha Kamati ya Mfuko wa Jimbo kwa lengo la kugawa vifaa vya ujenzi vitakavyonunuliwa kwa kutumia Fedha za Mfuko wa Jimbo. Waliohudhuria Kikao hicho: (i) Wajumbe wa Mfuko wa Jimbo (ii) Sekretariati ya Mfuko wa Jimbo...
  4. Morning_star

    Wenye chakula chao, nitajie majina ya mboga saba za kiasili unazozifahamu na kuziona hapo! 10k mfuko wa shati!

  5. Kalaga Baho Nongwa

    Mwenye TV inchi 15 aje inbox kuna elfu 50 mfuko wa shati hapa

    Wazee mambo yasiwe mengi saaasa! Mi sichekeshi Ninhitaji tv ya nchi 15, godoro la elfu 25 ikiwezakana na Chumba cha kupanga elfu 20 cha umeme nalipa miez miwili Napendelea sana mabwepande mpaka kunduchi, madale na sehem zingine zinazofanana na hizo ila isiwe goba tu Kuna hela hapa haina kazi
  6. J

    Ni baada ya muda gani naweza Kuuza vipande kwenye mfuko wa Liquid Fund baada ya kununua?

    Wakuu habari, ni muda gani naweza kuuza vipande kwenye mfuko wa UTT liquid Fund au mfuko wa Ukwasi, je naweza kuuza hata baada ya mwezi mmoja au miwili baada ya kununua ama ni mpaka meiezi mitatu au mwaka labda?
  7. J

    Nataka kuwekeza milioni 40 kwa miezi 3 , UTT, je inawezekana? Mfuko upi bora?

    Nataka niweke kama milioni 40 hivi kwa miezi mitatu, je itawezekana? Ni mfuko upi mzuri?
  8. Acehood

    Mfuko upi wa UTT AMIS ni bora kukuzia mtaji wakuu?

    Samahani wakuu naomba kujua ni mfuko upi naweza kutumia kukuzia mtaji ambazo kianzio chake ni kidogo zaidi?
  9. Friedrich Nietzsche

    Mfuko wa UMOJA FUND vipande vyake ndo vina thamani kubwa kuliko vipande vyovyote vile vya mfuko wa UTT

    Nilikua napitia thamn ya vipande tofauti Leo 27.11.24 1️⃣Umoja fund-1076 🟥 1087 KUZ🟩 2️⃣Ukwasi/Liquid fund 427🟥 427🟥 3️⃣Jikimu 177🟥181🟩 4️⃣Bond 118🟥118🟩 Hii ina maana gani?? Je ni sahihi na ninavo tafsiri thamani?
  10. Roving Journalist

    Wakili Haji Nanduli: Kila Lita ya Petrol na Dizeli kuna Tsh. 50 inayoenda Mfuko wa Taifa wa Maji

    Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Maji, Wakili Haji Nanduli ameeleza kuwa kwenye kila lita moja ya mafuta ya Petrol na Dizel ukatwa Tsh. 50 kama tozo kwa ajili kupelekwa kwenye Mfuko wa Taifa wa Maji ili kuwezesha utekelezaji wa mradi ya maji nchini. Ameongeza kuwa ili kuwezesha upatikanaji wa...
  11. Eli Cohen

    Huu mfuko mdogo kwenye suruali nyingi za jeans huwa ni wa kazi gani haswa?

  12. Waufukweni

    Geita: Anthony Mavunde aahidi kuingiza Tsh. Trilioni 1 Katika Mfuko wa Serikali kutoka Sekta ya Madini

    Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amezungumza mbele ya Rais Dkt. Samia Suluhu kwenye ufunguzi wa Maonesho ya Saba ya Teknolojia na Uwekezaji katika Sekta ya Madini leo tarehe 13 Oktoba, 2024, mkoani Geita. amesema kuwa Wizara ya Madini imejipanga kuingiza Tsh. trilioni 1 kwenye mfuko wa...
  13. Roving Journalist

    Bunge lapitisha muswada wa marekebisho ya sheria za hifadhi ya jamii

    Na; Mwandishi Wetu - DODOMA BUNGE limepitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria za Hifadhi ya Jamii wa Mwaka 2024 wenye mambo kadhaa yanayolenga kuondoa changamoto zinazowakabili wanachama na utaratibu wa upatikanaji wa mafao. Marekebisho hayo yanagusa Sheria tatu ambazo ni Sheria ya Mfuko wa...
  14. Nehemia Kilave

    Upungufu wa funds au fedha ndiyo chanzo kikubwa cha migogoro NHIF siyo shida ya kiungozi ndani ya mfuko

    Upungufu wa fedha za kutosha NHIF ndiyo chanzo kikubwa cha migogoro NHIF , hiki ndicho husababisha Hizi sababu za kukopeshana ili kuboresha maisha ya watumishi ,ufisadi hata hizo pesa zikirudi Mfuko hauwezi kujisimamia na cha zikaisha Serikali iangalie utaaratibu wa kuongezea mfuko fedha...
  15. Roving Journalist

    APHFTA: Tumesikitishwa na Aga Khan kusitisha huduma ya NHIF, Taasisi nyingi za Afya zinaweza kusitisha pia

    Wiki iliyopita Hospitali ya Aga Khan Dar es Salaam inayomilikiwa na Taasisi ya Aga Khan ilitangaza kusitisha mkataba kati yake na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) katika Vituo 11 kati ya 24 vinavyomilikiwa na Taasisi hiyo Nchini ikiwemo Hospitali ya Aga Khan Dar kwa sababu ya changamoto za...
  16. F

    Mbwiga anasemaje ukiona madaftari mazito utabeba mfuko wa cement

    Nimeyakumbuka maneno ya Mbwiga wa Mbwiguke nipo zangu mochwari nacheza na maiti. ama kweli ukiona madaftari mazito subiria kubeba mfuko wa simenti.
  17. R

    Je, kuwekeza UTT AMIS ni mfuko gani ambao hauna hatari?

    Habari wanajukwaa nilikuwa nataka kuuliza kuwekaza utt ni mfuko gani ambao hauna risk yeyote kabisa mm ndio nataka nianze hela kiasi 7M
  18. Stephano Mgendanyi

    Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa PSPF Kutoka ESWATINI Wafurahia Mafanikio NSSF

    MFUKO WA HIFADHI YA JAMII WA PSPF KUTOKA ESWATINI WAFURAHIA MAFANIKIO NSSF Mhe. Patrobas Katambi asema NSSF inazidi kuimarika, unaweza kulipa mafao bila kutetereka Na MWANDISHI WETU, Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe...
  19. je parle

    Natafuta machine ya kukandia unga wa maandazi (mixer) ya kilo 12.5 hela mfuko wa shati

    HABARI WANA JAMII NATAFUTA MASHINE YA KUKANDIA MAANDAZI .HATA IKIWA USED AS NEW ITAKUWA POA. Kwa mawasiliano zaidi pm wanangu.
  20. miamiatz

    SoC04 Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, Wanawake na Walemavu Tanzania - Mapendekezo ya Uboreshaji wake kwa Kutumia Mkoa wa Dar es Salaam kama Mfano

    Tanzania ina utaratibu wa kutenga kiasi cha fedha kutoka kwenye mapato ya ndani ya halmashauri zote kwa ajili ya maendeleo ya vijana, wanawake na walemavu. Fedha hizo hutokana na asilimia 10% ya mapato ya ndani ya halmashauri, ambapo asilimia 4% hutengwa kwa vijana, asilimia 4% kwa wanawake na...
Back
Top Bottom