Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira, Erick Shigongo ameshauri Serikali kuanzisha Mfuko wa Taifa wa Ubunifu ambao utasaidia watu kufanya utafiti na kuzalisha bidhaa.
Shigongo ameyasema hayo leo Jumanne Novemba 15, 2022 wakati akiwasilisha mada yake...