Tangu dhambi ilipoingizwa na mwanamke duniani, Mungu aliamuru mfume dume ktk familia. Soma { Mwa 3:16 akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako na kuzaa kwako kwa uchungu utazaa watoto na tamaa yako itakuwa kwa mumeo naye atakutawala}
Siungi mkono wanaume kuwatesa na kuwanyanyasa...
Kwema Wakuu!
Hapa Duniani ipo mifumo miwili tuu inayoongoza dunia. Hakuna mfumo wa kati.
Ni aidha uchague Mfumo dume au uwe WA mfumo Dume.
Ni fahari Kwa mwanamke kuchagua mfumo wowote, aidha achague mfumo jike au dume kwake vyote ni Faida.
Tena akichagua mfumo dume ndio hupewa heshima na...
Mfumo dume unapoingia kwenye mfumo jike ndipo ambapo mwanamke hudhalilika zaidi na hata kujidhalilisha. Sikutegemea mtu yeyote kudhani kuwa ukubwa wa matiti ndio sifa ya kuolewa. Inaleta shaka zaidi na maumivu makubwa kwa wanawake anapotamka hayo kiongozi wa nchi, tena mwanamke!
Aidha, ni vema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.