mfumo wa kodi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    DOKEZO Muundo wa kodi wa TRA nchini bado haumsaidii Mtanzania wa hali ya chini

    Nchini kwa sasa asilimia zaidi ya 55% ni vijana , ambao wengi hawana ajira na kama ujuavyo nchi yetu ni miongoni mwa nchi ambayo ina asilimia kubwa ya watu wa kipato cha chini.. Sasa sisi vijana wa 1990's ambao tegemezi la taifa kwa sasa coz wazazi wetu 70% kiumri ni juu ya 55yrs.. Tunatoka...
  2. Mkalukungone mwamba

    Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi: Tunataka mfumo wa kodi uwe rafiki kwa walipakodi, uimarike kwa uwazi

    Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi imefanya kikao na wadau wa kodi mkoani Iringa, ikilenga kupokea maoni na mapendekezo kuhusu changamoto za kodi na tozo mbalimbali zinazokwamisha maendeleo ya biashara. Mjumbe wa Tume na Mwenyekiti wa kundi dogo la Tume, Balozi Mwanaidi Maajar, amesema kuwa...
  3. Ojuolegbha

    Tanzania kuimarisha ufanisi wa mfumo wa kodi ili kukuza uwekezaji nchini

    Tanzania imechukua hatua stahiki za kuimarisha ufanisi wa mfumo wake wa kodi, ili kukuza uwekezaji na biashara na mataifa mbalimbali duniani. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahamoud Thabit Kombo, amesema hayo tarehe 13 Novemba, 2024 jijini Dar es Salaam...
  4. Lugano_20

    SoC03 Wahitimu wa vyuo wanaotakiwa kujiajiri na wawekewe mfumo maalum na mahsusi wa kodi ili kukabili tatizo kubwa la ajira na kukuza uwajibikaji wa vijana

    Hali ilivyo sasa. Sheria za Kodi ya Tanzania inaelekeza ulipaji wa Kodi kwa Kampuni zote zinazoanzishwa (changa) kuwa sawia na kampuni kongwe kama Tanzania Breweries Ltd (TBL), Vodacom Tanzania, Azam, Cocacola Kwanza Tanzania na Mohamed Enterprises METL. Mfumo unataka kampuni zote...
Back
Top Bottom